Sunday, 20 January 2019

HATIMAE MACHIMBO WALALA 1-0 DHIDI YA KIUYU UNITED SHAMATA CAP.


                                                      SHAMATA  CAP
Iliendelea  Tena leo katika viwanja kiwanja cha shame mata  Ambapo Ilizikutanisha  timu  machimbo kutoka micheweni pamoja na kiuyu united kutoka kiuyu.
Mchezo ulikuwa wa vuta ni kuvute nakila moja ikipeleka mashambulizi nakuonesha kandanda zuri lakini mambo hayakuwa mazuri kwa timu ya machimbo kutoka micheweni. 
Ndipo mchezaji wa timu ya kiuyu united aliyevalia jenzi namba 20 mgongoni kwake.
 Mfaki hamad alipo amua kuwanyanyua mashabiki zake kwakuipatia timu yake goli la kwanza bao ambalo lilidumu mpaka kumalizika kipindi cha kwanza cha mchezo huo.
Kipindi chapili kikianza kwa kasi kubwa timu ya machimbo ikitafuta kusawazisha huku kiuyu united nao kutafuta bao la nyongeza huku mchezaji wakiuyu united akalimwa kadi nyekudu baada ya kumchezea mchezo mbaya  mchezaji wa machimbo.
Hadi kipenga cha mwisho wa mchezo huo kiuyu united goal 1-0 machimbo haijapata kitu ligi hiyo itaendelea tena kesho
(othuman bakar

No comments:

Post a Comment