![](https://i0.wp.com/zanzibar24.co.tz/wp-content/uploads/haramu.jpg?resize=259%2C194)
Idara ya uhamiaji mkoani Rukwa imewakamata wahamiaji haramu 71 katika operesheni inayoendelea kwenye tarafa ya Wampembe, katika mwambao wa ziwa Tanganyika ambaowahamiaji hao wanasadikiwa kuwa ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afisa Uhamiaji wa Rukwa, Naibu Kamishna Elizeus Mushongi amesema tayari wamewarejesha nchini DR Congo wahamiaji 14, huku wengine wakiwa na hali mbaya kiafya.
No comments:
Post a Comment